Hot News
Waziri mkuu, Kassim Majaliwa anahutubia wananchi wa Wilaya ya Butiama. Katika ziara yake Wilayani Butiama Mh. Waziri Mkuu ameongozana na Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini, Mkuu wa mkoa wa Mara, Naibu Waziri wa Madini na Waziri wa Maji Mh. Juma Awezo. Baada ya kuhutubia na kusalimiana na wananchi wa Butiama, Waziri Mkuu ataelekea Serengeti na baadaye wilaya ya…
Gift Moureen ameshinda taji la Miss Kinondoni 2024. Gift ameibuka mshindi kati ya warembo 13 walioingia Fainali zilizofanyika jana usiku Masaki jijini Dar Es Salaam.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga jijini Tanga.
Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga Princess utachezwa leo Saa 10:00 jioni ndani ya Dimba la Azam Complex. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza…
Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa…
Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemfuta kazi Kocha Mkuu Abdel Amruche…
Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya basi la Lujiga Express…
Msanii wa Bongo Fleva Luludiva leo Machi 23 anatimiza miaka 29 tangu…
Tume ya Maendeleo ya ushirika Tanzania imeingia makubaliano na mtandao wa simu…
Hayati Edward Ngoyai Lowassa alizaliwa mkoani Arusha tarehe 26/08/1953. Alikuwa waziri mkuu…
Klabu ya Azam FC imempa ofa ya mshahara wa dola 15,000 (zaidi…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account