Vilabu vya Yanga SC na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kwenye klabu ya Cape Town City ili Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo.nakupenda
![](https://www.togoromedia.co.tz/wp-content/uploads/2024/03/images.jpeg)
Mayo kwa sasa ndiye mfungaji kinara wa ligi ya Dstv ya Afrika kusini akiwa tayari amekwishafunga magoli 11 msimu huu.