Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga jijini Tanga.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga jijini Tanga.
Sign in to your account