Leo Crown Media inayomilikiwa na msanii wa Bongo Flava, Ali kiba, imefanya utambulisho wa wafanyakazi wake wakiwemo waandishi wa habari na watangazaji.
![](https://www.togoromedia.co.tz/wp-content/uploads/2024/04/FB_IMG_1713049139425.jpg)
Mmoja kati ya watu waliotambulishwa rasmi ni aliyewahi kuwa mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kilichokuwa kinaruka kupitia East africa Radio na EATV, Dullah Planet.
Endelea kutufuatilia kwa habari zaidi.