Mchezaji na kiungo fundi kutoka TP Mazembe na Timu ya Taifa ya Zambia, Chipolopolo, Rainford Kalaba amefariki dunia.
![](https://www.togoromedia.co.tz/wp-content/uploads/2024/04/1713018428420.jpg)
Taarifa zilizotufikia ni kwamba mchezaji huyo amepata ajali mbaya ya gari alilokuwa akiliendesha mwenyewe Lusaka Zambia baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na lori na kufariki papo hapo.