Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa huo Mhe, Kanali Alfred Mtambi amekemea vitendo vya ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo.
![](https://www.togoromedia.co.tz/wp-content/uploads/2024/05/IMG-20240501-WA0032.jpg)
Katika hotuba yake pia amewaomba walimu, viongozi na wasanii wote mkoani humo kutumia nafasi zao katika jamii kutoa elimu kuhusu utokomezaji wa mauaji mkoni Mara.