Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo.
Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za Mei Mosi ambazo kimkoa zimefanyika Wilayani Butiama.
Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo.
Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za Mei Mosi ambazo kimkoa zimefanyika Wilayani Butiama.
Sign in to your account